.

Jumatatu, 14 Novemba 2016

Muonekano wa Mwezi ulivyoikaribia dunia leo

_92428727_marcusrobinson

Leo November 14, 2016 wananchi kutoka maeneo mengi duniani wameshuhudia tukio la mwezi kushuka chini zaidi ambapo umeonekana kuwa mkubwa kuliko ambavyo huonekana, tukio hili linatokea ikiwa ni tangu ilipotokea mwaka 1948.
Nchi ya Uingereza imekuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuuona mwezi huo jioni ya leo Jumatatu, licha ya kuwa umeikaribia dunia zaidi kwa mwendo wa masaa matano na dakika 21 ambapo mwezi huo unakuwa umbali wa kilomita 356,509 kutoka usawa wa Ardhi duniani.
Kwa mujibu wa  idara ya hali ya hewa nchi Uingereza Tukio la mwezi kuikaribia dunia litatokea tena tarehe 25 mwezi November 2034.

_92428498_davidmurton3

_92428501_roy_mcdonald

_92428504_zsolt_berend_2

_92428727_marcusrobinson

_92428730_priyanka_paltanwale_3

_92428733_rachel_rose

_92428735_toshiebarth

_92429167_jonathanpotten

_92429170_ianharris

_92429173_keithlawson

_92429176_gerrygutteridge

_92429652_edwinjones

_92429655_davidjgreer

_92429658_lornaabrahams

mwezi-2

mwezi-3
mwezi-4

Bonyeza HAPA kudownload application yetu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni