.

Jumanne, 14 Juni 2016

Mapovu bado yanatawala, Nuh kafunguka maneno mazito


Inaonekana kama bado mapovu yanazidi kutawala kati ya Nuh mziwanda pamoja na ex wake Shilole baada ya kuachiwa kwa video ya Jike shupa iliyomtumia model anayefanana na mpenzi wa zamani wa Nuh ambaye ni Shilole.

Kupitia kurasa ya Instagram ya Nuh mziwanda@mziwandanation alipost ujumbe mzito ambao umebeba hisia ya wawili hao bado wana bifu la chinichini lilosababisha Nuh kufunguka ujumbe huu kwa mashabiki wake


“Siku zote nilikua nataman kuwaomba sana msamaha mashabiki wangu kwa kunimiss kimuziki na kuwapa kile wanachostahili. Sababu ya nilipotoka ila nasikitika sana kwa habari ambazo mimi nakaushaga tu ila now naona ni too much ‘kama mwanaume lazma niongee ikizidi sana. Ridhiki upangwa na Mungu na nawashukuru sana wanaonisapot kwenye mziki wangu ‘ila nashangaa binadam mwenzangu anadiriki kupigia sim baadhi ya mastar walionipost clip za video yangu na kuwaambia wazifute kwenye akaunti zao eti wanamdharirisha ‘jamani mbona mimi sina noma nae na nafanya muziki wangu na Mungu wangu.mpka cover yake nikapost kwa huruma ya kibinadam ambayo ninayo.mana najua siri ya mafanikio ni kuthamin kazi ya mwenzio na kutokua na chuki.haya sasa habari zote nimepata unahangaika kuishusha jike shupa ‘huwezi mana tunaishi chini ya Mungu.na huwezi zuia nguvu ya mashabiki wangu ambao wapo tayari kwa chochote kwa ajili ya muziki wangu.mangapi ya kunidharirisha umenifanyia mimi nilinyamaza mpaka wasanii wenzangu wanayajua.nimeimba kilichonitokea kwenye maisha yangu halisi na ndio siri ya muziki ni hisia na yale ambayo yanatendeka katika jamii.unasema nakudharirisha vipi wewe nlivokufumania live mbele ya wasanii wenzangu?unajua niliumiaga kiasi gani au heshima yangu ilishuka kiasi gani.Nahisi ulidhani nikitoka huko sitoendelea kimuziki.dada naamini ndani ya kipaji changu.na kingine nakushauri fanya kazi acha skendoz hazina mpango.mashabiki now wanataka mziki mzuri mana stejini hauwezi imba skendo.eti mpaka unalia kwenye sim unadharirishwa na nyimbo yangu watu waliopost wazifute wanakudharirisha mwanamke mwenzao.Mama kua na roho ya kibinadam utafanikiwa acha roho mbaya na chuki.mimi nadeal na Mungu wangu na mashabiki wangu na naamini ndani ya kipaji changu.na usipanik sana huu mwanzo tu bado Ngoma nyingi kali zinakuja.USINIPANDIKIZIE CHUKI kwa WATU nakuomba .kila mtu afanye kazi zake.samahan mashabiki zangu kwa hili mana limeniuma sana sana sio ubinadamu kabisa.na hawazifuti ng’o.Mungu yupo na mimi.pia big up kwa wale wanaokuogopa na kushindwa kunsapot kisa wewe.ila haya maisha tu na tunaishi na kufa.sasa sidhani mkisikia nimekufa mtashindwa kuja kunizika kisa bibie anapga mkwara.haya maisha jamani” aliandika Nuh mziwanda.
Hata hivyo baada ya kuachiwa kwa video hiyo ya Jike Shupa kuna post ambayo ilisambaa mtandaoni iliyoandikwa na Shilole katika ukurasa wake wa Instagram na kuifuta ilikuwa ikionyesha majibizano kati ya wawili hao.
“Wale unaongozana nao wanaweza kuwa mzigo Au Baraka…Shukrani za dhati kwani kwenu mashabiki zangu ambao kwangu ni baraka na pole sana kwa wasanii wote mnaodhani bado tupo dhama za kutumia mgongo wa mtu mwingine kuweza kutoboa…..kipaji sio maneno ila vitendo..umemiss mikong’oto?? Sipendagi mwanaume mjinga na ndo maana umekula mikongoto ya kutosha…#mshambaUsiyejuaHatakubadilishaBoxer#niwekeMbaliNaMaishaYako#NikifumbuaMdomowanguUt shilole kwenye ujumbe wa Insta uliofutwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni