Huku bado tukiwa bado tunauguza vidonda vya maumivu ya ajali iliyochukua roho za watoto wetu huko tanga napo basi aina ya coaster imegonga lori kwa nyuma na vimeripotiwa vifo kadhaa.
Updates zinakuja zaidi..
Ajali mbaya imetokea eneo la Lusanga Muheza. Basi aina ya Costa ikitokea Tanga kuelekea Korogwe, imegonga roli kwa nyuma na kusababisha vifo vya watu. Ni usiku huu.
Bado nafuatilia habari hii kwa kina



![Click this image to show the full-size version. [​IMG]](https://uploads.tapatalk-cdn.com/20170507/1e975c66cadf1839dc060873fb15dc6f.jpg)
![Click this image to show the full-size version. [​IMG]](https://uploads.tapatalk-cdn.com/20170507/283d4b5007fad9f980d6d181627724b2.jpg)
![Click this image to show the full-size version. [​IMG]](https://uploads.tapatalk-cdn.com/20170507/002e520fae7e1caeefdff7830bac6948.jpg)
Updates zinakuja zaidi..
Ajali mbaya imetokea eneo la Lusanga Muheza. Basi aina ya Costa ikitokea Tanga kuelekea Korogwe, imegonga roli kwa nyuma na kusababisha vifo vya watu. Ni usiku huu.
Bado nafuatilia habari hii kwa kina
![Click this image to show the full-size version. [​IMG]](https://uploads.tapatalk-cdn.com/20170507/1e975c66cadf1839dc060873fb15dc6f.jpg)
![Click this image to show the full-size version. [​IMG]](https://uploads.tapatalk-cdn.com/20170507/283d4b5007fad9f980d6d181627724b2.jpg)
![Click this image to show the full-size version. [​IMG]](https://uploads.tapatalk-cdn.com/20170507/002e520fae7e1caeefdff7830bac6948.jpg)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni