.

Alhamisi, 21 Julai 2016

Watanzania 7 waliotajwa kuwania tuzo za AFRIMMA 2016 Texas Marekani


Tarehe 15 October 2016 zitatolewa tuzo zaAFRIMMA 2016 kwa mara nyingine tena, ni tuzo zinazotolewa kila mwaka Dallas Texas Marekani ambapo zinahusisha zaidi Wasanii mbalimbali wa muziki waliofanya vizuri kutoka bara la Afrika.
Wanaowania tuzo za 2016 tayari wametajwa ambapo miongoni mwao, Watanzania wanaowania ni Dancer wa Diamond Platnumz Mose Iyobo, Diamond Platnumzmwenyewe, Alikiba, Yamoto Band, Vanessa Mdee, Linah na Producer Tudd Thomas kama inavyoonekana kwenye hii list hapa chini.
a1
5
3
8B
9
9B
10
4
Japokua hapa wameandika Sauti Sol wamemshirikisha Alikiba, kitu sahihi ni kwamba wimbo huu ni wao wote na sio Alikiba kushirikishwa, huo wimbo wa pili wa Akothee ndio Diamond kashirikishwa.

16

15

13

12

11

8

7

6

1
2

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni