.

Jumatano, 8 Juni 2016

Chris Brown aongeza tattoo ya mtoto wake, Royality


Chris Brown ameendelea kuongeza wino kwenye mwili wake, sasa amechora tatto ya sura ya binti yake ‘Royality’

Kupitia ukurasa wake wa instagram staa huyo ali-post picha inayoonyesha mchoro wa sura ya mwanae Royality na kuandika…. ‘I do what the f*** I want.’

Hii sio mara ya kwanza anaonesha mapenzi ya dhati kwa mtoto wake, mwaka jana aliachia album mpya aliyoipa jina la binti yake huyo ‘Royality’

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni