.

Jumatatu, 17 Aprili 2017

ALI Kiba na Ruby Penzini


DAR ES SALAAM: Ukaribu wa sexy lady wa Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ na MbongoFleva, Ali Salehe Kiba ‘King Kiba’, unadaiwa kuzua maswali kwa kuwa, jamaa huyo siku chache zilizopita alimvisha pete ya uchumba mwandani wake aitwaye Amina kutoka nchini Kenya. 


Siku chache zilizopita uliibuka uvumi kuwa, mastaa hao kwa sasa wanatoka kutokana na ukaribu wao ambao umezua gumzo huku swali la wengi likiwa kama ni kweli hiyo ni ‘pea’ mpya Bongo, vipi kuhusu Amina? 


Kufuatia ishu hiyo, Wikienda lilianza kwa kumtafuta Ruby na kumuuliza kama taarifa za ‘kuchepuka’ na Kiba zina ukweli ambapo alijibu kwa kifupi: “Sorry, sitaki kuulizwa kuhusiana na hayo mambo, naomba niulizwe kuhusu kazi zangu tu!

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka HabNews Tv

Bonyeza HAPA kupakua application yetu na upate habari punde zitufikiapo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni