.

Ijumaa, 4 Novemba 2016

Mpenzi mpya wa Nick Canon ana ujauzito

Tayari Nick Cannon ana watoto wawili na Ex wake Mariah Carey  na sasa pamekuwa na ripoti kuwa mpenzi wake mpya Brittany Bell anaujauzito.
Nick Cannon na Brittany Bell wameripotiwa kutegemea mtoto wa gazeti la Us Weekly, wawili hawa wamekuwa kwneye mahusiano toka mwaka 2015 ila walitengana mwanzoni mwa mwaka huu na sas wamerudiana.
    3a01dc2c00000578-3902110-image-m-43_1478192342927


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni