.

Jumanne, 29 Novemba 2016

Diamond Aweka Record Nyimbo Yake Yashika Namba Mbili Uingereza

Nyimbo mpya ya diamond ft Neyo iitwayo marry you ambayo official release imeshaachiwa United Kingdom (UK) siku chache zilizopita imeendelea kufanya vizuri kwenye vituo mbali mbali.
Katika nyimbo mpya zilizotoka hivi karibuni diamond amekuwa akichuana na Bruno mars na wimbo wake wa Chunky.

Katika nyimbo bora za wiki zilizotoka hivi karibuni marry you imeshika nafasi ya 2 nyuma ya Chunky iliyokamata namba 1 kwenye kituo cha beat london, na kuweka record ya kuwa mtanzania wa kwanza kufikia level hiyo.

Ikumbukwe diamond na Neyo watakuwa na tour ya pamoja mwezi ujao huko UK

Hii ni hatua nyingine muhumu kwa diamond na mziki wake
Ikumbukwe wimbo wa marry you bado haujaachiwa kwa upande wa africa na video bado haijatoka
Japo kuna demo ilivuja

Download application yetu HAPA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni