.

Jumatatu, 17 Oktoba 2016

Mimba ya Jacqueline Wolper na tuzo ya Harmonize

Muigizaji wa filamu nchini, Jacqueline Wolper, amefunguka kuhusu uvumi ulio zagaa mtandaoni kuwa anaujauzito baada ya picha nyingi kumuonyesha hivyo na wengi wakiamini niya msanii wa WCB, Harmonize.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Jacqueline Wolper amewaza kuandika haya.
“Hatimaye nikakavua kale kAmkanda nakukatua kaa mkAnda kametengeneza mimba yamiezi mitatu wakti ndo kwanza mwezi Mkanda leo ndo mwisho wako tena nakuacha hukuhuku china ndege aupand buaaana ♀️ ♀️ ♀️ @wemasepetu @sweetlorah siwataki kabisa kwenye pt yamwanangu wakwanza”
Kitu ambacho bado kimewaacha wengi njia panda kujua kama kweli anaujauzito au la!

Lakini usiku wa kuamkia jana ambapo imefanyika baraka kwa waanii wa WCB akiwemo Diamond Platnumz na Harmonize kushinda tuzo, Yeye Jacqueline Wolper ametumia ukurasa wake wa Instagram kuzungumzia kuhusu Haramonize na kuandika.

“Pongezi za dhati zilizochanganyika na hisia kali ziende kwa Raj Nafikiri unajua mm ni shabiki wa kazi zako zilizotoka na hata ambazo hazijatoka.. Am so proud of u and am very happy for you Shukrani pia kwa uongozi mzima wa WCB, Cha msingi zidisha juhudi kwenye kazi zako na pia hiyo tuzo isikupe bichwa ukajisahau.. Zidisha juhudi kwenye kazi ili ulete nyingi zaidi… Sema mwenzenu sikua na wasi wasi nilijua kabisa tuzo anaileta Congratulation Raj Raj”

Kupata habari kila zinapotufikia download application yetu HAPA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni