Mkongwe wa muziki wa Kizazi kipya Dully Sykes, amevitaka vyombo vya habari kumsapoti msanii mwenzie wa Kitambo Q Chillah kwa sababu anaamini bado anauwezo mkubwa zaidi kimuziki.
Dully ameiambia Times Fm kuwa, Q chillah ni msanii bora kwake na mwenye sauti ya pekee muda wote ila anachokosa kwa sasa ni sapoti kutoka kwenye Vyombo vya Habari.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni