.

Jumanne, 23 Agosti 2016

Tazama picha za Msichana anayeongoza kupiga selfie kwenye maeneo hatarishi zaidi duniani


Kwa muda sasa watu wamekua wakipendelea kupiga picha kwa mtindo wa ‘selfie’ na imekuwa ni kitu cha kawaida lakini kilichoishangaza dunia ni aina ya selfie ama picha anazopiga mrembo huyu kutoka Russia, Angela Nikolau ambaye amejipatia umaarufu kupitia picha hizo.
Angela Nikolau ameonekana akipozi katika madaraja marefu, mapaa ya nyumba, majengo marefu sana huko Moscow, Hong kong na China. Picha zake zimekua na utofauti mkubwa kwani amekuwa akizipiga katika maeneo ambayo watu wengi hawawezi kuthubutu.

ang

ggg

jdbgf

angela

kama

kamau

kamauuu

kimau

kmau
kmauuuu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni