Mcheza filamu za vichekesho nchini Marekani, Gene Wilder amefariki dunia akiwa na miaka 83. Wilder amekua akiugua ugonjwa kwa kukosa fahamu{ Alzheimers}. Aliwahi kucheza filamu maarufu ya , ''Willy Wonka-The Chocolate Factory''.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni