.

Alhamisi, 2 Juni 2016

DIAMOND PLATNUMZ AMSAINI RASMI RICH MAVOKO


Mwanamuziki Diamond amemchukua rasmi mwanamuziki Rich Mavoko na sasa atakuwa chini ya lebo yake ya Wasafi ..Baada ya tetesi nyingi sasa leo rasmi amemtangaza mwanamuziki huyu kuwa chini ya lebo yakeAmeandika haya katika ukurasa wake wa Instagram

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni