.

Jumatano, 26 Aprili 2017

ACHANA NA THE FAST AND THE FURIOUS 8,SASA HUU NDIO MZIGO MPYA UNAOKUJA


Baada ya kuvunja rekodi ya box office duniani kwa filamu ya ‘The Fate of the Furious 8’, Muigizaji wa filamu hiyo Tyrese ameweka wazi ujio wa filamu yao inayofuata, Fast 9.
Tyrese ameonyesha cover ya toleo la movie hiyo mpya ya Fast 9 kupitia Instagram yake, inayoashiria kwamba tayari waigizaji wa filamu za The Fast and the Furious wako kazini wakiandaa Filamu hiyo mpya. The fate of the Furious imekadiriwa kuingiza rekodi ya dola za kimarekani shilingi milioni 523 ndani ya wiki yake ya kwanza pekee.
Filamu hiyo ya Fast 9 inatarajiwa kutoka ifikapo mwaka 2019.

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka HabNews Tv

Bonyeza HAPA kupakua application yetu na upate habari punde zitufikiapo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni