.

Alhamisi, 10 Novemba 2016

SNOOP DOGG AMESEMA KWAMBA WAMAREKANI HAWATOKUJA KUYASAHAU MATUKIO HAYA



Ushindi wa Donald Trump umekuwa gumzo sana kwenye mitandao ya kijamii, hii ni baada ya wamarekani weusi wengi kutegemea kwamba ushindi ungeenda kwa mwanamama Hillary Clinton.
Sasa Msanii wa miondoko ya HipHop huko nchini Marekani ni moja ya watu ambao wameguswa na ushindi huo wa Trump kwani kura zao zote zilikuwa ni kwa Hillary Clinton, kuptia kurasa yake ya Instagram, Snoop Dogg amefunguka na kusema kwamba nchini Marekani kuna matukio mabaya mawili tu, ambayo ni


Bonyeza HAPA kudownload application yetu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni