.

Jumatano, 2 Novemba 2016

Barua ya Tupac Kuuzwa Milioni 378 na Goldin Auctions


Ni miaka 20 tangu afariki rapper mkongwe, Tupac. Na sasa barua ambayo aliiandika, mwenyewe inatarajiwa kuuzwa kwa kiasi cha $172,750 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 378 za kibongo.

Kampuni ya Goldin Auctions, imesema barua hiyo iliyondikwa na Tupac Shakur ni moja ya vitu kumi vilivyokuwa vikimilikiwa na rapper huyo ambavyo vyote vitauzwa kwa mtonyo wa $206,625.


Bonyeza HAPA kudownload application yetu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni