Hapa Kazi tu!, José Mourinho na kikosi chake cha Man united kimeonyesha hakuna kumpumzika zaidi ya kupiga mazoezi mwanzo mwisho kwa ajili ya kujiandaa kuivaa klabu ya Chelsea siku ya jumapili.
Sasa katika kuelekea kiwanja cha Mazoezi, kila mchezaji wa Man United alionesha mbwembwe za kuja na ndinga ya Kifahari, Sasa hebu niambie nani ametisha hapa.





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni