.

Jumamosi, 22 Oktoba 2016

Wachezaji wa Manchester United waoneshana ubabe wa magari mazoezini


Hapa Kazi tu!, José Mourinho na kikosi chake cha Man united kimeonyesha hakuna kumpumzika zaidi ya kupiga mazoezi mwanzo mwisho kwa ajili ya kujiandaa kuivaa klabu ya Chelsea siku ya jumapili.
Sasa katika kuelekea kiwanja cha Mazoezi, kila mchezaji wa Man United alionesha mbwembwe za kuja na ndinga ya Kifahari, Sasa hebu niambie nani ametisha hapa.
Anthony Martial arrived at training in a Smart Car on Thursday
Anthony Martial aliingia na ndinga ya Smart Car
Morgan Schneiderlin has mustered just five minutes of league action
Hilo ndinga la Morgan Schneiderlin likiwa linawasili hapo
Eric Bailly arrived to training being chauffeured by his dad
Eric Bailly yeye hakuwa na mbwembwe sana, alishushwa na Range Rover akiwa na Baba yake ambaye alikuwa anaendesha ndinga hiyo.
Sergio Romero shares the same taste with his team-mate in supercars
Sergio Romero nae akaingia na ndinga yake ya Lamborghini

Henrikh Mkhitaryan arrives in his £260,000 Lamborghini
Hii ni ndinga ya Henrikh Mkhitaryan aliyoingia nayo kwenye mazoezi, gari hili ni moja ya magari ambayo yenye thamani kubwa “Lamborghini”

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni