Kim Kardashian amesema baada ya kuwa “mwathirika wa tukio hilo la wizi wa kutumia silaha Ufaransa, Kim Kardashian alirejea Marekani na kujikuta tena anakuwa mwathirika kwa mara nyingine, wakati huu mwathiriwa wa gazeti la udaku lililochapisha habari kuhusu yeye kuwa ni muongo na hakuvamiwa kama anavyowadanganya watu.
Kwenye kesi hiyo, anataka alipwe kiasi cha pesa ambacho hakikutajwa mara moja.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni