.

Jumatatu, 10 Oktoba 2016

Baraka Da Prince achukizwa na kitendo cha Stan Bakora Instagram


Baada ya mchekeshaji Stan Bakora kuirudia ngoma ya Baraka The Prince, mdundo wa ‘Nisamehe‘, Baraka ameiona video yenyewe na imeonekana hajapendezwa na ndio maana kwenye Instagram kaamua kumpa Stan Bakora onyo.
Maneno ya Baraka The Prince ‘Matani ni mazuri ila yakizidi yanaweza kuleta matatizo… heshima ichukue nafasi yake tafadhali mzee utani huu sijaupenda iwe mwanzo na mwisho tafadhaliscreen-shot-2016-10-09-at-11-38-23-pm

Bonyeza hapa kupakua application yetu playstore

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni