.

Jumatano, 21 Septemba 2016

Angelina Jolie awashtua wengi kwa maamuzi yake juu ya Brad Pitt


Stori Mbaya kunako industry ya burudani jana ni ishu ya mkali wa movie za Hollywood mwanamama Angelina Jolie kuomba talaka kwa baba watoto wake ambae pia ni muigizaji mwenzake  Brad Pitt kwa kile anachodai ni kuboresha zaidi  malezi ya watoto wao sita.
Moja kwa moja kuna baadhi ya mashabiki wa couple ya waigizaji hao wameonyesha kuvunjika  moyo na kutokua na imani nao tena moja kati ya watu walionyeshwa kusikitishwa zaidi maamuzi hayo ni Christine Teigen (Mke wa John Legend) ambae kupitia ukurasa wake wa twitter Christine ameandika.

“Brad na Angelina, Nawezaje Kufanya Kazi Leo?”

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni